KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Saturday 4 January 2014

DK MGIMWA ARUDI NYUMBANI KWA SAFARI YA MWISHO DUNIANI.RATIBA YA MAZISHI

Ratiba ya Mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Marehemu Dkt. William A. Mgimwa
Siku & Tarehe
Muda
Tukio
Mhusika








Jumamosi
4 Januari, 2014
 7:30
Mwili kuwasili JNIA


7:30 – 7:40
Kuutambua mwili na kukamilisha taratibu za uhamiaji

Bwana Bunare wa HAZINA na Mwanafamilia
7:30 -  7:40
Kumpokea mjane kutoka kwenye ndege kwenda VIP
Kaimu Waziri wa Fedha; Mwenyekiti wa Kamati; Mhe. Sophia Simba; Katibu Mkuu NJE; Balozi wa Tanzania Afrika ya Kusini; Monica Mwamunyange; Wanafamilia watatu

7:40 – 8:00
Mwili kubebwa na kuwekwa kwenye gari

Waombolezaji
8:00 – 8:30
Msafara kuelekea nyumbani

Kamati
8:30 – 10:00
Ibada ya Misa Takatifu nyumbani

Padre
10:00 – 10:30
Mwili kupelekwa Hospitali ya Lugalo

Kamati na Familia

10:30 – 12:00
Viongozi wa Kitaifa kutoa pole kwa familia
Mhe. Janeth Mbene na Kamati











Jumapili
5 Januari, 2014






2:00 – 4:00
Kifungua kinywa nyumbani kwa marehemu
Kamati

4:30
Waombolezaji kuwasili Viwanja vya karimjee
Kamati na Wanafamilia

5:00
Mwili kuwasili viwanja vya Karimjee
Kamati

5:45
Mhe. Makamu wa Rais kuwasili Karimjee
Kamati

6:00
Mhe. Rais kuwasili Karimjee
Kamati

6:00 – 6:20
Ibada fupi
Padre

6:20 – 6:25
Wasifu wa marehemu
Katibu Mkuu – HAZINA

6:25 – 6:30
Salamu za rambi rambi
Waziri wa Fedha wa Uganda kwa niaba ya Mawaziri wa Fedha Afrika Mashariki
6:30 – 6:35
Salamu za rambi rambi
Mwakilishi wa Washirika wa Maendeleo (DPs)
6:35 – 6:40
Salamu za rambi rambi
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni kwa niaba ya Vyama vya Upinzani
6:40 – 6:45
Salamu za rambi rambi
Kiongozi wa CCM Bungeni

6:45 – 6:55
Salamu za Bunge
Spika wa Bunge

6:55 – 7:00
Salamu za rambi rambi
Waziri wa Fedha, Zanzibar

7:00 – 7:05
Salamu za rambi rambi

Kaimu Waziri wa Fedha SMT
7:05 – 7:10
Shukrani
Mwakilishi wa Familia

7:10 – 7:15
Hitimisho
Mwenyekiti wa Kamati

7:15 – 8:00
Kutoa Heshima za mwisho
Kamati

8:00 – 8:40
Kuelekea Uwanja wa Ndege
Wanaosafiri
10.00-11.00
Mwili kuwasili uwanja wa ndege wa Nduli Iringa na kuelekea katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo kwa heshima za Mwisho
Mkuu wa Mkoa na Kamati
11.00
Mwili kuelekea Kijijini Magunga
Mjane wa Dr Mgimwa akisindikizwa na viongozi wa serikali uwanja wa ndege baada ya kutoka Afrika Kusini akiwa na majonzi Mungu ampe nguvu katika kipindi hiki kigumu kwa Familia.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS