KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Monday 21 January 2013

UKUTA WAANGUKA NA KUARIBU MAGARI ZAIDI YA 19 LEO KITUO CHA MABASI UBUNGO.BAADHI YA PICHA ZA AJALI HIYO






Tatizo wanasema Mkandarasi alikuwa akivunja ukuta bila kuweka Tahadhari,lakini hawa jamaa waliopaki magari walikuwa wapi?Kazi ni kwa Mkandarasi kwani kosa kubwa ni kwake,Kwa nini umebomoa ukuta bila tahadhari?Tuwaachie wahusika wanaoweza KUCHAKACHUA hakuna tatizo.

 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS