KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Tuesday 1 January 2013

BUNGE LA SENETA LA USA LAPITISHA MSWADA WA OBAMA

Rais wa Marekani Barrack Obama, amewataka wabunge wa bunge la wawakilishi kupitisha maazimio yaliopitishwa na bunge la Senate kuhusu sera mpya ya uchumi bila kusita.
Bwana Obama, amesema kuwa makubaliano hayo yanawaokoa asili mia sabini ya Wamarekani dhidi kupandishiwa ushuru na pia yataimarisha uchumi uchumi waa taifa hilo.
Rais Obama, amesema kuwa kwa mara ya kwanza wanaomiliki mabilioni na mamilioni ya fedha watalazimika kulipa ushuru unaohitajika kwa mara ya kwanza kwa zaidi ya miaka ishirini iliyopita.
Wabunge wa chama cha Republican, wamesema kuwa watahitaji muda zaidi kusoma mapendekezo hayo.
Hata hivyo wantarajiwa kupiga kura baadaye hivi leo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS