KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Thursday 26 July 2012

TUMEONDOKEWA NA BIBI YETU MPENDWA LEO,TUNAMSHUKURU MUNGU KWA KUMPUMZISHA SALAMA BIBI YETU KATIKA SIKU TANO ZILIZOPITA ALIANGALIA PICHA ZETU ZA FACEBOOK KUTOKA KWA KITUKUU WAKE.

Siku ya leo katika Hospitali ya Mkoa Bukoba{Kagera}Bibi yetu  Ma Yozefina,ametutoka na kutangulia mbele za haki,mazishi yake yanatarajiwa kufanyika siku ya jpili baada ya kufika ndugu na jamaa.Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi,AMINA.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS