KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Wednesday 11 April 2012

SEHEMU YA ULINZI NA UWANJA NA TIKETI

siku ya mechi kuna kuwa na ulinzi zaidi ya Polisi Mia Nne wakishirikiana na walinzi wa kampuni za binafsi ambao wao uwa ndani ya uwanja ukileta fujo wanakupeleka kwa Polisi.
Hili ni gari Gereza ukileta fujo unawekwa ndani ukifungiwa ndani Polisi wanaendelea na kazi zao wewe upo ndani.
Ukikata tiketi ni lazima ueleze unakotoka wapi unataja nyumba unayoishi na mtaa ndio maana wana sehemu wanaita ticket information.
Uwanja kwa upande wa kaskazini
Uwanja kwa upande wa kusini.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS