KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Wednesday 23 December 2020

CHRISTMAS NA MWAKA MPYA NI SHEREHE KUBWA KWA NCHI ZA MANGARIBI NCHI ZA UCHUMI WA JUU KWA WANANCHI WAKE KUTUMIA MUDA MWINGI KUHIFADHI PESA KWA AJILI YA SHEREHE HIZO.KWA SASA GONJWA LA CORONA LIMEHARIBU KILA KITU MIGAHAWA IMEFUNGWA NI KUNUNUA VYAKULA NA KWENDA NAVYO KWAKO SIO KUKAA NA KULA HOTELINI

Kwa wenzetu Krismas ni sherehe kubwa na muhimu sana kutokana na gonjwa la Corona mataifa mengi yamezuia mikusanyiko mingi lakini watu bado wanapinga na serikali kutokana na wataalamu wa sayansi wanasema kuzuia watu wasikutane ni kupunguza maambukizi.Tumuombe Mungu atuepushe na huu mlipuko wa pili wa Corona inasemekana ni hatari na rahisi kuambukiza kuliko ule wa mwezi wa Tatu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS