KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Monday 21 October 2019

UCHAFUZI WA MAZINGIRA NDEGE NI CHANZO KIKUBWA CHA UCHAFUZI MKUBWA WA MAZINGIRA WANAHARAKATI WA KUPIGANIA MAZINGIRA WANASEMA

KWENYE NCHI ZILIZOENDELEA zinazotumia ndege kwa usafiri kama Uingereza kwenye uwanja mmoja kwa siku wanaudumia ndege si chini ya 2200 uwanja mmoja na kuna viwanja zaidi ya 6 vinavohudumia wasafiri kutoka nje ya nchi.
Wana harakati wameanza kuwaambia wasafiri wasitumie ndege zinazosafiri masaa mengi kama ndege kutoka Australia kwenda Uingereza na Australia kwenda Amerika New york.
Kiukweli wateja wamepungua kutokana na kampeni za kupinga uchafuzi wa mazingira.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS