KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Tuesday 19 February 2019

NI GHARAMA KUHIFADHI HIVI VYOMBO NDANI KUTOKANA NA NAFASI KUWA NDOGO.

Kwa upande wa vifaa vya ndani katika nchi zilizoendelea ni kuvitoa nje kwa ajili ya watu wengine kuvichukua kwa matumizi yao bila kuambiwa mwizi.Watu wengi wakinunua vifaa vya ndani iwe viti,majiko au friji,vile vya zamani utolewa nje kupisha nafasi kwa vifaa vipya.
Kuna mashirika ya kuwahudumia watu huwa wanachukua na kuvipeleka kwenye ghala zao kwa watu wengine na watu wengine uvifunga na kuvisafirisha nje kwa biashara au vyuma chakavu.
Kila bidhaa ni mali haitupwi jalani.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS