Thursday, 12 June 2025
TANZANIA NA WADHAMINI NI UTAPELI MKUBWA UNAOFANYWZ NA WAFADHILI KUSEMA PESA LAKINI PESA YOTE INAUNGANISHWA NA MATANGAZO NA WAHUSIKA WAKUU NI WAFADILI NA HAO VIONGOZI WA TFF NA KLABU KUAMBULIA KIDOGO NA MKIKATAA BIASHARA INAKWISHA.
Niliwahi kufika u wanna wa Nyayo Nairobi Kenya wao wanaofisi kwenye u wanna wao karibu za michezo your ipo pale.Nikaongea na watu waFootball na Basketball tukijadiliana kuhusu Udhamini.Kwa Kenya kipindi kill time na mdhamini walipigana vikumbo kisha mdhamini akafuta udhamini.
Lisa kilikuwa ni kwamba mdhamini alitaja pesa nyingi kwa ajili ya kudhamini lakini time zilikuwa zinapata pesa ndogo kuliko ile pesa iliyotolewa na mdhamini,hapo kuna pesa ya mate gaze kuna ten percent kuna kulipia media.
Kwa sababu wakened Havana dogs walikataa na ligi ilikosa mdhamini.
Sasa tuje kwa Tanzania,kuna ujanja ujanja pence pesa lazima potatoes la ajabu ikiwa 10 percent na ulaji mwingine.Kwa hiya kutokana hiya nafasi basi kuna viongozi na wengine Wadhamini kushirikiana na kuweka mambo yasiwe sawa.
Muhimu mkiwabana Wadhamini ndio mwisho wa udhamini je nyie mnasemaje
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment