KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Tuesday, 17 June 2025

IRAN YATUMA TENA MAKOMBORA TEL AVIV ALARM INALIA NA SASA WATU WAPO KWENYE MAHANDAKI WAMETLIA WAKINGOJEA AMRI YA KUTOKA.SASA SIJUI KWA NINI USA WANASEMA WANASHIKILIA VIZURI ANGA LA IRAN.KAMA WANAMILIKI ANGA LA IRAN INAMAANISHA KILA KOMBORA WATALIONA LINATOKA WAPI NA KUSHWMBULIA HAYA MAENEO KOMBORA LINAPOTOKA

IRAN ANGA LAKE SASA LINAMILIKIWA NA ISRAEL-IRAN ULINZI WAO WA ANGA UMEHARIBIWA KWA HIYOBHAWAWEZI ZAIDI KUZUIA NDEGE ZINAZOSHAMBULIA..KUHUSIANA SILAHA ZILIZOPO KWENYE MAHANDAKI CHINI YA MILIMA,ISRAEL WANA NDEGE NA MAKOMBORA YANAYOITWA GBU-57 YANAYOPENYA KWENYE MIAMBA NA KUINGIA NDANI HATA KAMA KUNA ZENGE AINA GANI.HAYA MAKOMBORA NDIO YALIMTOA SADDAM HUSEIN WA IRAQ BAADA HANDAKI LAKE KUBWA LILILOJENGWA NA WAJERUMANI KUPIGWA NA KUHARIBU MAWASILIANO YOTE YA JESHI NA KUUA WANAJESHI WA KIKOSI MAALUM

TRUMP AREJEA WASHINGTON NA KUKIACHA KIKAO CHA G7 NA KUSEMA YEYE AMEACHA KIKAO KWA SABABU ANATAKA KUSAIDA KUMALIZA VITA VYA IRAN NA ISRAE.USA INASEMA HAIPO KWENYE VITA LAKINI KUNA HABARI ZINASEMA USA IMESEMA ISRAEL HAIWEZI KUMALIZA VITA YENYEWE KWA KUSHAMBULIA MAHANDAKI YA VITUO VYA NYUKLIA

ISRAEL YASEMA IMEFANIKIWA KUKISHAMBULIA KITUO CHA MITAMBO YA NYUKLIA CHA NATANZ KIKIWA KIMEHARIBIKA

VITA ISRAEL NA IRAN MASHAMBULIZI PANDA ZOTE ZIKIJISIFU KUHARIBU MIJI YA ISRAEL NA IRAN.HII VITA NI TISHIO KWA NCHI ZINAZOITISHA ISRAEL

IRAN VS ISRAEL-SASA USA YASEMA WANAFAHAMU ALIPOJIFICHA KIONGOZI WA KIDINI WA IRAN ALI KHAMENEI.NA SASA INATAKA WATU WOTE WALIOPO TEHRAN WAONDOKE HARAKA KWA SABABU MASHAMBULIZI YATAONGEZEKA.ANGA LA IRAN KWA SASA LIPO CHINI YA ISRAEL.

IVITA VITA KATI YA ISRAEL NA IRAN NANI ANA NGUVU ZA KIJESHI.?SRAEL IDADI YA WATU MILION 9 - IRAN IDADI YA WATU NI MILION 90.ANGA LA IRAN LINAMILIKIWA SASA NA ISRAEL KWA TAARIFA ZA SASA NA ISRAEL IMEWAAMBIA WATU WA IRAN WAENDE SEHEMU SALAMA KWA MAANA WATASHAMBULIWA MAENEO YAO.TELEVISION YA TAIFA YAPIGWA NA MAKOMBORA KUTOKA KWENYE NDEGE .VITA BADO INAENDELEA

V

Thursday, 12 June 2025

AJALI YA NDEGE INDIA SASA TUANGALIE SEHEMU YANAPOIFADHIWA MAFUTA KWENYE NDEGE ,MATANKI YAKIWA KWENYE MABAWA NA KATIKA YA BAWA LA KUSHOTO NA KULIA NA JINSI GANI MAFUNDI WANAINGIA NDANI YA TANKI KUTENGENEZA

AiIR INDIA SHIRIKA LA NDEGE LINALOMILIKIWA NA TATA GROUP,AJALI IMEWASTUA WATU WENGI ULIMWENGUNI ASA WALE WAPENZI WA BOEING 787 IMEKUWA KAWAIDA KWA SASA NDEGE ZA BOEING ZINAPATA AJALI KILA WAKATI.

Kutokana na video ndege ya Air India ilivyokuwa inaruka kulikuwa hakuna tattoo.Sasa swali ndege ilipaa vizuri lakini ikashindwa kuendelea just vizuri na kukosa nguvu ya kupaa hayo ndio maswali ya kujiuliza kwa nine ilishindwa kupaa just zaidi na kurudi chini na kuungua? Sasa wataalamu wanasema kuhusu kuwa na tattoo la Engine au makosa ya Rubani. Na swali kubwa sana kwetu watumia Boeing kwa nine Ajali zitokee kwenye nchi za Duncan ya tatu zaidi na chache szna kutokea nchi zilizoendelea. Manor Air Ethiopia ilipata ajali na kuua a irian wote na kosa Wallsend ni Marubani kwa uzembe sasa utauliza uzembe gang? Inawezekana ni kuchelewa kubadilisha giant na meningococcal. Leo ukiangalia ndege ilivyoanza ndio utaona kweli inawezekana ni Marubani au Engine Nilisafiri na KLM Boeing 777 na Bahamian nzuri nine-day upended wa Jiko kunakuwaga na kahawa na chai au sandwich na kuongea na wafanyakazi wa ndege,Bahamian nzuri alikuja Pilot namba 1 nikamuulize wewe ni pilot mkuu aka iambic ndio.Tuliongea na pilot kwa dakika kama 20 Sasa tuli,uwa angani tumemaliza Egypt na tulikuwa tumeingia Ethiopia tumebakiza kama saa more na dakika 45 yule rubani aka iambic neruda kwenye chumba cha rubani ni muda wa kuanza kuweka ndege tayari kwakutua Kilimanjaro. Kwa nine non-electric hivyo ni kwamba kuna umuhimu wa kuwa making kwa matrubani kwani kitu chochote kinaweza kutokea na kuua abiria.

AIR INDIA AJALI MMOJA APONA NA AZUNGUMZIA NINI KILICHOTOKEA

Asarwa in Ahmedabad, on a bed in the general ward lies 40-year-old Vishwash Kumar Ramesh, who said he survived the deadly crash.

INDIA JIJI LA AHMEDABADS JIJI LENYE IDADI YA WATU MILION 7,69 .AJALI YA NDEGE ILIYOKUWA IKITOKA INDIA KWENDA LONDON KWENYE UWANJA WA GATWICK WATU 242 WAFARIKI WOTE KWENYE AJALI YA NDEGE,BADO WATU WALIKUWEPO MAJUMBA AMBAPO NDEGE ILIANGUKIA ASA KWENYE CHUO CHA UDAKTALI AMBAPO WANAFUNZI WALIKUWEPO WAKILA CHAKULA CHA MCHANA NA WENGINE WALIKUWA KWENYE MKUTANO.IDADI YA RAIA WALIOKUFA Uingereza ni 53,Ureno ni 7,Canada ni 1 na India ni 169 na wengine baadae wakitajwa.

TANZANIA NA WADHAMINI NI UTAPELI MKUBWA UNAOFANYWZ NA WAFADHILI KUSEMA PESA LAKINI PESA YOTE INAUNGANISHWA NA MATANGAZO NA WAHUSIKA WAKUU NI WAFADILI NA HAO VIONGOZI WA TFF NA KLABU KUAMBULIA KIDOGO NA MKIKATAA BIASHARA INAKWISHA.

Niliwahi kufika u wanna wa Nyayo Nairobi Kenya wao wanaofisi kwenye u wanna wao karibu za michezo your ipo pale.Nikaongea na watu waFootball na Basketball tukijadiliana kuhusu Udhamini.Kwa Kenya kipindi kill time na mdhamini walipigana vikumbo kisha mdhamini akafuta udhamini. Lisa kilikuwa ni kwamba mdhamini alitaja pesa nyingi kwa ajili ya kudhamini lakini time zilikuwa zinapata pesa ndogo kuliko ile pesa iliyotolewa na mdhamini,hapo kuna pesa ya mate gaze kuna ten percent kuna kulipia media. Kwa sababu wakened Havana dogs walikataa na ligi ilikosa mdhamini. Sasa tuje kwa Tanzania,kuna ujanja ujanja pence pesa lazima potatoes la ajabu ikiwa 10 percent na ulaji mwingine.Kwa hiya kutokana hiya nafasi basi kuna viongozi na wengine Wadhamini kushirikiana na kuweka mambo yasiwe sawa. Muhimu mkiwabana Wadhamini ndio mwisho wa udhamini je nyie mnasemaje

YANGA NA SIMBA NA MPIRA WETU WA TANZANIA NI KITU MUHIMU KWA WAPENZI WA MPIRA KULIKO SIASA.

Kwa sasa tunakoenda kwenye nchi yetu tupo normally sana kwa serikali kuchukua maamuzi ya harald,lakini hao viongozi we yews ndio wanaharibu miracle wetu. Sasa ubavu uliopo kwenye mpira ukiamia kwenye siasa nchi yetu itakuwa na maendeleo kwa sababu watu watasema wanachoonewa na kutaka make celebrity zaidi.
Hiring time ndizo sense washable wengi na maendeleo yapo kwao kwa faida ya nchi yetu.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS